Zitto Noma, Aamua Kujiuzulu Ubunge Kabla Chadema Hawajamfukuza Rasmi Kwa Barua..Aandika Barua Hii Hapa ya Kujiuzulu


Wakati bado Chadema Hawajatoa Barua Rasmi ya Kumfukuza Zitto Chadema , Zitto Ameamua Kujiuzulu yeye mwenyewe na Kuandika Barua hiyo Hapo Juu ....

Je unaonaje Kuhusu Hilo ?