|
Nay wa Mitego na Mtoto wake |
Nay wa Mitego Amesikitishwa na Kauli ya Mzazi mwenzake SIWEMA ambaye
wamezaa naye mtoto kwa kusema kuwa mtoto huyo si wa kwake bali ni wa
aliyekuwa Mpenzi wake wa zamani Obasanjo...Japo Wahenga wanasema
Kitanda hakizai Haramu Nay wa Mitego amehabari kuwa yupo Radhi kupima
DNA ili kubaini kama mtoto ni wake ama la?
Unamshauri nini Nay wa Mitego?