Chuo Kikuu cha Dar es salaam Kimapoteza Wanafunzi Watano Katika Ajali ya Basi Iringa..Majina Haya Hapa



Takribani wanafunzi watano kutoka Chuo Kikuu cha Dar es salaam wamepoteza maisha katika ajali iliyotekea juzi
Wanafunzi hao walikuwa wakirejea chuo baada ya likizo kuisha.
WALIOFARIKI WATANO NI
1. CHIWANGU DIDIMO (mwaka wa 3)
2. KILLEO ERICK ( mwaka wa 3)
3. SOSTEN DAUD (Mwaka wa 3)
4. WATSON JEREMIA (Mwaka wa 2)
5. MBAULE FRANK (Mwaka haujajulikana)
MAJERUHI WAWILI
1. TUPATE MOSIGWA (Mwaka wa 1)
2. RAPHAEL NELBERT (Mwaka wa 1)
Tunawapa pole wafiwa na Mungu azilaze roho za marehemu mahali pema peponi ..