![]() |
Wema Sepetu |
Hivi karibuni Wema Sepetu na mtangazaji wa Clouds FM, Millard Ayo, walipata shavu la kutengeneza tangazo la gari hilo jipya ambapo kwenye tangazo la gari hilo, mastaa hao wenye ushawishi mkubwa wanaonekana wakisifia vitu mbalimbali vilivyomo kwenye gari hilo.
Katika Hatua Nyingine Mashabiki wake wamefurahishwa na Jinsi Wema Anavyojituma kwa sasa kwenye Kazi mbalimbali Kwa kutumia Jina na Umaarufu wake kujiongezea kipato tofauti na alivyokuwa na Diamond..
Hongera sana Wema na team yako kutoka Endless Fame