Showing posts with label burudani. Show all posts
Showing posts with label burudani. Show all posts

Sheddy Clever: Nimelipwa pesa nyingi sana kutayarisha wimbo wa Diamond na Ne-Yo


Producer Sheddy Clever wa Burn Records amesema kuwa amepata pesa nyingi alizolipwa na Diamond kutengeneza collabo yake na Ne-Yo, kiasi ambacho ingemchukua miezi mitatu kuipata kwa kazi zake za kawaida za production.

Sheddy ambaye ndiye producer anayepika collabo ya Diamond na Ne-Yo inayosubiriwa kwa hamu na mashabiki wa muziki wa Afrika, ameiambia Bongo5 kuwa hajawahi kulipwa kiasi hicho cha pesa toka ameanza kufanya production.

“Hii kazi tuliyoenda kufanya juzi nimelipwa, na nimelipwa vizuri tu…sijawahi kulipwa hivyo kwakweli yaani nafurahi sana,” alisema kwa furaha.

“Diamond ni msanii tofauti sana na haogopi kuwekeza katika kazi zake kwasababu anajua nini anachokifanya…Nimelipwa vizuri japokuwa kazi bado sijamaliza lakini nimelipwa pesa nyingi tu nzuri nimefikia hoteli nzuri.” alisema Sheddy.

Sasabu wengi huwa hawapendi kusema kiwango wanacholipwa, nilipomuuliza kama amelipwa zaidi ya shilingi milioni 1 alijibu;
Sheddy:[kicheko] Inazidi milioni 1 hata milioni 3 inazidi kabisa nimelipwa vizuri

Nikaendelea kumuuliza kama amelipwa zaidi ya shilingi milioni 5?

Sheddy:[kicheko na kigugumizi] labda nisiongelee sana hilo ila nimelipwa pesa nyingi kwakweli nisiwe muongo wala nisiwe mnafiki, mwenyezi Mungu ananiona hata kama nikiongea uongo nimelipwa pesa nyingi SANA (akasisitiza) kiasi cha kwamba ninaweza nikakaa studio kwa muda hata wa miezi miwili au mitatu ndo nikaipata pesa hiyo lakini nimeipata kwa kazi moja na kazi bado sijamaliza na kuwakabidhi bado sijawakabidhi.
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

Baba Diamond Akataliwa Kumuona Mjukuu wake Tiffah


Baba mzazi wa mwanamuziki huyo, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Abdul Jumaa ‘Baba D’.
MSHTUKO! Baada ya hivi karibuni staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kupata mtoto wa kike, Latifah Nasibu ‘Princes Tiffah’ kupitia kwa mwandani wake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’, baba mzazi wa mwanamuziki huyo, Abdul Jumaa ‘Baba D’ amekataliwa kumuona mjukuu wake huyo, Risasi Mchanganyiko lina habari kamili.

ILIKUWAJE?
Kwa mujibu wa baba Diamond, baada ya Tiffah kuzaliwa Agosti 6, mwaka huu, mama mzazi wa nyota huyo, Sanura Kassim a.k.a Sandra alimpigia simu mzazi mwenzake huyo na kumjuza kwamba wamepata mjukuu, jambo ambalo walilifurahia kwa pamoja.

Wakiwa katika mazungumzo hayo kwenye simu, baba Diamond alimuuliza kuhusu sura ya mtoto kama kweli ni wa kwao au siyo kama tetesi zinavyozagaa kwamba siyo wao ambapo alihakikishiwa na mama huyo kuwa Tiffah ni damu yao kwani anafanana na mtoto wao Diamond hasa mdomo.

BABA DIAMOND AFURAHIA
“Nilifurahi sana nilipopigiwa simu na mama Diamond na kuniambia tumepata mjukuu tulipongezana, pia nikamuuliza kuhusu wasiwasi wa kwamba siyo damu yetu kama wengi wanavyodai ambapo alinihakikishia kwamba ni damu yetu,” alisema baba Diamond.

AKATALIWA KUMUONA, APIGWA CHANGA
Baba Diamond alifunguka kuwa, wakiwa wanaendelea na mazungumzo, alimtaka mzazi mwenzake huyo amwelekeze nyumbani ili akamuone mjukuu wake, Tiffah lakini mama D alimpiga ‘changa la macho’ na kumwambia hawapo wameshasafiri kwenda nchini Afrika Kusini ‘Sauz’.

“Niliumizwa sana na maneno hayo kwani yalionesha wazi kwamba, mama D hataki niende kumuona, kwani nyombo vya habari kila siku vinaripoti kwamba Zari na mwanaye wapo hapa Bongo lakini nikaona isiwe shida nikapiga kimya tu,” alisema baba Diamond.
Hata hivyo, baba D alisema kuwa, kutokana na kupigwa changa hilo la macho, hakuweza kwenda kwani hajawahi kufika hata nyumbani kwa Diamond alikohamia huko Madale-Mivumoni jijini Dar na anaona sawa tu kwani hana la kufanya.

UKWELI NI HUU
Kwa mujibu wa mtu wa ndani kwenye familia ya Diamond, ukweli ni kwamba, Zari na mwanaye Tiffah mpaka sasa wako nyumbani kwao na hawajasafiri kwenda Sauz kama alivyoelezwa baba

Diamond mwenyewe hakuweza kupatikana kuzungumzia jambo hilo kwani muda wote simu yake ya mkononi haikupatikana hadi tunakwenda mitamboni.
Source:Globalpublishers
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

Baada ya Kufunguliwa Kamati Mpya ya Miss Tanzania yawekwa Wazi..Jokate Ndani....


Baada ya kufunguliwa kwa mashindano ya kumtafuta Miss Tanzania na Baraza la Sanaa la Tanzania (BASATA), Kamati ya Maandalizi ya Michuano hiyo imekuja na mikakati ya kurejesha hadhi na heshima ya mashindano hayo makubwa ya kusaka walimbwende nchini.


Katika kuboresha mashindano ya Miss Tanzania, Mkurugenzi wa Kampuni ya Lino Agency, Hashim Lundenga leo ametambulisha mbele ya waandishi wa habari kamati mpya yenye wajumbe 12, ambayo itakuwa inaratibu mashindayo hayo kwa sasa.
Lundenga amesema kuwa kamati hiyo inayoanza kazi zake hii leo, itashughulikia mapungufu yote yaliyojitokeza na kurejesha imani ya wananchi kwa mashindano hayo ikishirikiana kwa karibu na wadau mbalimbali pamoja na Basata.
Akizungumza na waandishi wa habari baada ya kutambulishwa Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Jokate Mwegelo ametoa shukrani kwa niaba ya kamati yake kwa kuamininiwa kupewa jukumu hilo na kuahidi maboresho makubwa na mikakati endelevu ya kurejesha hadhi ya Miss Tanzania.

Kamati Mpya ya Miss Tanzania inaundwa na wajumbe wafuatao:

1.Juma Pinto – Mwenyekiti
2.Lucas Rutta – Makamu Mwenyekiti
3.Doris Mollel – Katibu Mkuu
4.Jokate Mwegelo – Msemaji wa Kamati
5.Hoyce Temu – Mjumbe
6.Mohamed Bawazir – Mjumbe
7.Gladyz Shao – Mjumbe
8.Magdalena Munisi 0 Mjumbe
9.Shah Ramadhani – Mjumbe
10.Hamm Hashim – Mjumbe
11Khalfani Saleh – Mjumbe
12.Ojambi Masaburi – Mjumbe

Kwa upande wa Sekretariet tunao wajumbe 4 ambao ni:

1.Dr.Ramesh Shah
2.Hidan Ricco
3.Yasson Mashaka
4.Deo Kapteni
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

VERA Sidika Ajibu Mapigo ya Huddah Monroe Kwa Kuweka Picha Hii ikionyesha Chuchu zake zilivyo


If these socilates are not posting nudes they are busy calling out each other online. Well it’s barely a week since Vera played therapist by asking Huddah to tone down on her cocaine after a photo her naked boobs surfaced online.

Ally Kiba will faints after seeing these photos.....Just read what Jokate wrote on this photo


This is what Jokate captioned this photo; Business Meeting In Nairobi With Fareed Khimani At His Restaurant Monikos at Valley Arcade. Check It Out Once In Nairobi-Kenya. Usengwile.

Aunty Ezekiel na Kajala Masanja Wamseng'enya Wema Sepetu


MASTAA wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel na Kajala Masanja, juzikati walikutana na kutumia muda wa takriban nusu saa (dakika 30) kumsengenya aliyekuwa shosti wao, Wema Sepetu.

Tukio hilo lilijiri  hivi karibuni kwenye Bustani za Ndoto Polepole zilizopo Bagamoyo, ambapo mastaa kibao walihudhuria sherehe ya Baby Shower ya Aunt, iliyokuwa imesheheni vituko kibao huku gumzo likiwa ni kutokuwepo kwa Wema.

Awali paparazi wetu aliwashuhudia wawili hao wakimzungumzia Wema tena huku watu wengine wakisikia, kubwa likiwa kumshangaa kwa namna anavyotaka kila anayekuwa rafiki yake, awe adui wa maadui zake.Mjadala huo ulikuwa mkubwa, ambapo Kajala kuna wakati alimuuliza Aunt sababu ya Wema kutokuwepo eneo hilo ndipo alipompa mkasa mzima.

Mazungumzo hayo ya Kajala na Aunt yaliwafanya hata waalikwa wengine kumteta Wema, wakidai kuwa anatakiwa kujiangalia kwani ni staa ambaye hadumu na marafiki zake na mara nyingi wakiachana, huachana kwa ubaya.Ijumaa lilijaribu kuingilia mazungumzia hayo ili kujua kisa cha wao kutumia muda mwingi kumjadili Wema lakini wote waliishia kuguna kisha kuendelea na sherehe hiyo.

Nigerian Godfather or Tanzanian Hanscana To Direct Mapenzi Au Pesa By Nay Wa Mitego ft Diamond


Mapenzi au Pesa(Love or Money) is the new song by Nay Wa Mitego featuring Diamond Platnumz which is currently enjoying airwaves in and outside Tanzania. And two video directors are considered to shoot it's video.
In a new interview with Clouds fm Diamond and Nay said that in Tanzania they have Hanscana in their minds while for outsider director they consider Nigerian Godfather so one of them will work with Diamond and Nay because they want the video to be in great standards.

Wema Sepetu " Sina Bahati na Marafiki Kabisa, Nawapenda kwa Moyo Wote ila Wananigeuka..Sasa Nimeamua Kufuata Ushauri wa Mama Yangu"


Na Imelda Mtema
Beautiful Onyinye wa Bongo, Wema Sepetu amefunguka kuwa, anajua siku zote yeye hana bahati ya kuwa na marafiki kwa kuwa hata akiwa nao mwishowe kunatokea mgogoro na kuachana huku kila mmoja akimuona mbaya

Akizungumza na gazeti hili juzi, Wema alisema anaumia sana kwa kuwa mara nyingi anawapenda sana rafiki zake kwa moyo mmoja lakini mwisho wa urafiki wao huwa ni mbaya sana tena huvunjika kwa kugombana.

“Mimi nimeshajiona siku nyingi sina bahati kabisa, hata nikiwa na marafiki ambao nawapenda kutoka moyoni, mara nyingi wananigeuka na mama yangu amekuwa akinisihi mara nyingi sana, sasa naona bora nifuate ushauri ambao mama yangu ananishauri wa kuangalia watu wa kuanzisha urafiki nao,” alisema Wema

Shishi 'kubananishwa' na BASATA kwa kukiuka maadili..Akitua tu Nchini Anatakiwa Akajieleze


Kufuatia kusambaa kwa picha zinazoonyesha sehemu kubwa ya maungo ya mwili wa msanii wa muziki Shilole kutoka katika onesho lake alilofanya hivi karibuni huko Ubelgiji, msanii huyo anatarajiwa kulitolea ufafanuzi suala hilo mbele ya BASATA.

Shilole a.k.a Shishi Baby

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mtendaji wa Baraza hilo, Godfrey Mngereza, kitendo cha Shilole kufanya vitendo vya kudhalilisha hadharani, si mara yake ya kwanza kufanyika na Baraza hili lilikwishamwita kumuonya.

Taarifa hiyo inaweka wazi kuwa, msanii huyo atakaporejea nchini, litachukua hatua zifuatazo.
1. Litamuita kwa mara nyingine tena kumtaka ajieleze kwa nini alifanya onesho hilo la kujidhalilisha na kudhalilisha hadhi ya mwanamke, msanii na Sanaa kwa ujumla
2. Kama maelezo yake hayataridhisha hatua kali za kinidhamu zitachukuliwa dhidi yake maana tayari ameshadhihirisha kwamba akifanyacho si sanaa na hakuna uhusiano na kazi ya Sanaa ambayo ina heshima yake na inahitaji ubunifu, weledi na kujitambua.
Msanii huyo pia kwa upande wake anasubiriwa kwa hamu kutolea ufafanuzi wa kile kilichotokea kwa mashabiki wake Afrika Mashariki.

Linah: Chozi Langu Hili Haliendi Bure!! U Will Pay it Back Maana Nimechoka na Masimango yenu


Muimbaji wa ‘Ole Themba’ Linah Sanga amewafungukia followers wake wa Instagram baada ya kuchoshwa na masimango ambayo amedai yamemtoa machozi.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram wenye followers 254,256 Linah ameandika ujumbe huu mrefu:

“Jamanii nimechoka Na kufuru zenu, hivi naomba niulize ufupi wangu, kukomaa kwangu, mkorogo wangu vinawahusu nini? Ni naomba mfatilie kazi zangu tu vingi be ni vitu vya kawaida kila binadamu kuambiwa kasoro zake! Hvi wale ambao Hawana mikono Na miguu Na wao walie vipi kwa Mungu? Namshukuru hivi nilivyo. Mbona mnapenda kutoa hukumu kama nyie ndyo Israeli?! Ifike kipindi tukumbuke kila mtu anamaisha yake! Naona mnaandamana sana Na maisha yangu. Kuna ambae hata alimsaidia mama yangu wakati anapush hospitali? Hivi kumbukeni mnawazazi pia Na nyinyi mlizaliwa pia,kama nyie Mungu basi nibadilisheni mniumbe mtakavyo, nyie ni kina baba Na kina mama wa badae kumbukeni mtazaa Na nyinyi then tuone! Chozi langu hili haliendi bure!! U will pay it back maana nimechoka Na masimango yenu. “

H-Baba Afunguka Kuhusu Kumwekea Bleach Kichwani Mtoto Wake, Adai Lazima Aishii Kistaa Kama Wazazi Wake


H-Baba asema lazima mwanaye aishi kisanii kama wazazi wake,afunguka kuhusu kumuweka 'bleach'
Msanii wa bongo Fleva,H: Baba amewafungukia mashabiki wake waliomjia juu baada ya kumuweka dawa ya nywele'bleach' mtoto wake,Tanzanite mwenye umri wa mwaka mmoja.
Mashabiki walimwambia msanii huyo kuwa bleach siyo nzuri kiafya kwa mtoto huyo,H: Baba akijibu tuhuma hizo alisema kuwa lazima mwanaye aishi kisanii kama wazazi wake na kwamba yeye kama mzazi hawezi kumuharibu mtoto wake.
'Watu wanashindwa kuelewa mimi sijampaka mwanangu bleach hiyo ni hina pia hina ni suna kwa dini yetu ya Kiislam sioni tatizo hapo,'alisema H: Baba.

Wema Sepetu Gets High And Fails To Host Mabeste's Charity Show


Last Sunday actress Kajala Masanja was hit by a bottle of beer by unknown guy. Kajala was at Maisha Club for Mabeste's charity show for his wife. She was outside the club leaving after the end of the event but suddenly came that unknown dude and hit Kajala on face, she fell down but friends rushed her to Mwananyamala hospital for treatment. The guy was then taken to police for legal steps, however Kajala is doing well.

On the other side, Wema Sepetu was expected to be MC for the Charity show but she got drunk and failed to host. When Wema asked by the Paparazzi about getting drunk while she was expected to be MC of the event she told paparazzi to leave her alone

Nay wa Mitego Atangaza Mali zake, Yamo Majengo na Magari..Adai kwa Sasa Yupo Single


STAA wa Bongo Fleva nchini, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ amefunguka kuhusu mali zake anazomiliki.

Nay ameyafunguka hayo wakati akihojiwa katika Kipindi cha Sporah kinachoruka kupitia Runinga ya Clouds TV kila Jumanne usiku.

Staa huyo amesema anamiliki nyumba tatu, magari matatu ambayo ni Toyota Prado, Nissani Murano na Toyota Passo.

Mbali ya vitu hivyo pamoja na muziki, pia staa huyo anavitega uchumi ambavyo vinamuingizia kipato ikiwemo bajaj, saluni na vinginevyo.

Kwa upande wa mahusiano, Nay amesema kwa sasa yupo ‘single’ akiwalea watoto wake wawili baada ya kutofautiana na mpenzi wake wa tatu Siwema na kuamua kumchukua mtoto wake mchanga anayedai alikuwa hapati malezi bora kutokana na mama yake huyo kuwa bize na biashara zake.

Nay ameeleza historia ya mahusiano yake akiweka wazi wapenzi wake watatu ambao amezaa nao watoto akianza na wa kwanza ambaye alikuwa Mhindi huku wa pili akiwa msanii wa sinema za Kibongo, Skyner Ally ‘Skaina’ kabla ya kumaliza na Siwema ambaye wametofautiana hivi karibuni.

Nay amesema kwa sasa ana watoto watatu ambao aliwapata na wapenzi wake hao watatu wa zamani na kati ya hao wawili anaishi nao.

Lakini mbali na kusema kwa sasa yupo single, staa huyo hivi karibuni amekuwa na uhusiano wa karibu sana na mwigizaji wa filamu za Kibongo Shamsa Ford huku wakipiga picha kadhaa za kimahaba na kuziachia mitandaoni.

Kuhusu muziki, Nay amefunguka kuwa yeye anafanya muziki biashara akiangalia soko la muziki linataka nini ili aweze kuendelea kuwa juu.

Mipango yake katika miziki ni pamoja na kufanya kolabo mbalimbali na mastaa wa nje akiwemo Wizkid na D’banj na wengineo ambapo baadhi yao tayari amenza kufanya nao kazi.

Kwa upande wa hapa Bongo, Nay amesema anatarajia kutoa ngoma nyingine ambayo amefanya na mkali wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz huku akiongeza kuwa atafanya pia kolabo na wasanii wa kike ili kuboresha muziki wake na kuwapa raha mashabiki wake
GPL

Nay Wa Mitego Sheds Diamond Platnumz Saying Zari Wouldn't Be With Him Without Money.


Today Diamond Platnumz dissed Nay Wa Mitego's ex girlfriend and baby mama Siwema (read here). And Nay decided to respond by dissing Diamond, Nay posted the below photo of Diamond and Zari and saying that if not money Zari would never date Diamond because he isn't good looking...

Wema: Kumiliki Au Kutomiliki Bastola ni Siri Yangu


Staa wa Bongo Movie, Wema Sepetu, amedai kwamba itabaki kuwa siri yake kama ni kweli anamiliki bastola ama la kwa kuwa si sifa kutangaza umiliki wa silaha.

“Hii ni siri yangu kama namiliki bastola au la, lakini mimi sioni ajabu kumiliki bastola, mtu kama mimi mwenye maadui wengi inasaidia katika ulinzi wa maisha yangu,” alieleza Wema.
Wema aliendelea kuwataka wanaojiuliza kama anamiliki bastola ama la waendelee na mambo yao mengine kwa kuwa hawatajua jambo hilo ambalo ni siri katika kuimarisha ulinzi wake.

Gazeti la Mtanzania

Aunt Ezekiel: Sitaki na Sina Tatizo na Mtu Kama Watu Wanavyodai...We Ongea Majungu tu


Kutoka Mitandaoni: Staa wa bongo movies, Aunt Ezekiel ameamua kuvunya ukimya fufuatia comment mablimbali za mashabiki juu ya kile kinacho daiwa kuwa urafiki wake na staa mwenzake Wema Sepetu umeyumba.

Madai ya kuyumba kwa  ufafiki baina ya mastaa hao yameibuka kwa kasi baada ya hivi juzi kati kufanyika kwa baby shower ya Aunt na Wema kutokuwepo kwenye pati hiyo, kitu ambacho mashabiki na wapenzi wa mastaa hao wamekuwa wakihoji ina wezekana vipi Wema kukosa kwenye pati hiyo.

Kifuatia minong’ono hiyo kuzidi na watu kumshambulia kwa maneno mtandaoni kwa kila nachokiweka kwenye ukurasa wake, hatimaye Aunt ameibuka na kusema wazi kuwa hana na wala hataki tatizo na mtu na kuwa yeye kwasasa ana mambo yake.

“Wakati wewe unaongea majungu mimi naangalia hatma yangu sitaki tatizo na mtu sina tatizo na mtu kama kuna tatizo sema na mtu wako sio mimi lisitoke kwa mjambaji likaja kwa mtema mate” Aunt aliandika.

Nadhani ameeleweka.

Lol...Diamond Platnumz Replies Nay Wa Mitego By Dissing His Ex Girlfriend Siwema.


Lol...Diamond Platnumz Replies Nay Wa Mitego By Dissing His Ex Girlfriend Siwema.
Then his best friend Diamond Platnumz replied him by dissing Nay's ex girlfriend and baby mama Siwema. Diamond told Nay he think everything is about money that is why he spent a lot to Siwema but she had no real love to him and eventually she was taken by another guy who has no money but he has skills in bed....Lol

And I bet this is a promo for their new collabo which is about their exes, namely Wema Sepetu and Siwema.

What do you think...

Siri yafichuka Kumbe ni Ali Kiba Ndio Anaye Mnyima Usingizi Mrembo JOKATE


Lile fumbo tuliokuwa tumefumbiwa na Mwanadada Mrembo na Mjasiria Mali Jokate la mtu kumyima usingizi sababu ya Penzi lake limefumbuliwa na imebainika kuwa mtu huyu ni Mwanamuziki Ali Kiba...

Ila Wadakuz wa Ubuyu wanasema huenda watu hawa ni wapenzi wa siri wa muda mrefu kwani wamekuwa wakionekana pamoja mara kwa mara sehemu za Starehe na Jokate mara kwa mara huenda nyumbani kwa Ali Kiba bila Sababu yoyote....

Baada ya Jipu kupasuka Jokate alihojiwa lakini akashindwa kusema chochote na kuishia kujichekesha tu ,,,,

Mwigizaji LULU Michael Apingana na Wema Sepetu Kwa Hili Jambo.....


Sheria iliyopitishwa na Mamlaka ya mawasiliano Tanzania TCRA "Cybercrime au Cyberbulling" Kuwa ukitukana mtandaoni na Comment ikawa inaonekana aliyeandika utalipa faini ya Shiling laki 7.5 kwa kila siku  imemfanya Lulu Michael Arudi Mtandaoni Baaada ya Kujitoa kutokana na Matusi ya Watu waliokuwa wakimshambulia ...

Lulu Amesema "Binafsi nadhani Sheria hii Itasaidia Kidogo Watanzania kupunguza matumizi Mabovu ya Mitandao ya Kijamii , Fikiria wazazi wetu wangetulia kwa kutukana kama ilivyo sasa tungekuwa wapi sasa hivi? "

Huku Lulu Akishangalia Sheria Hiyo Mrembo Wema Sepetu Amepinga Vikali Sheria hiyo kwa kusema inanyima uhuru kwa Mashabiki wake kumrekebisha , Wema Amesema yeye yuko radhi kutukanwa kwani ndio kunamrekebisha ......"Je mimi nitawezaje kujua makosa yangu ili niweze kubadilika na kufanya vizuri kama sintasikiliza maoni ya watu yawe mabaya au Mazuri" Ali hoji Wema Sepetu

Socialite Vera Sidika In Bongo With Yamoto Band 'Slammed For 'Copying' Huddah And Zari


Vera Sidika is constantly compared to other socialites, I guess it’s something that comes with the territory .

And the fact that she will be making an appearance at an all-white party in Tanzania, something which Huddah and Zari have done in the past, people have assumed that she is copying them.