Mzee wa Upako: (Wakristo)Wasioenda Kanisani Jumapili ni Mafala na Mabwege

Nimemfatilia channel ten wakati akiongoza ibada huku akishangiliwa na mamia ya waumini wake.. Kati ya mambo yaliyonistaajabisha ni lugha ya matusi.

Anasema habari ya mjini kwa sasa ni kusali.. Ila anamalizia kwa kuwaambia vijana wanaosema kila siku ni yale yale kanisani kwamba ''ibada haifanani acha ufala''.

Hili neno ufala ni tusi au mi ndo sijui kiswahili...?