Mwigizaji wa Kike Kajala Masanja Mwenye ugomvi na Wema sepetu Baada ya
Kuchukuliana Mabwana inasemekana kwa sasa ameamua kurudiana na aliyekuwa
mpenzi wake wa zamani Producer P-funk Majani ...Ambae ni Baba wa Mtoto
wake Anayejulikana kama Paula....
So cute Jamani ..Tunzeni Mtoto sasa!!