Showing posts with label mapenzi. Show all posts
Showing posts with label mapenzi. Show all posts

Lulu Akiri na Kutoa Sababu ya Kupenda Kutoka na Wanaume Waliomzidi Umr


Staa mrembo wa Bongo Movies, Elizabeth ‘Lulu’ Michael amekili kupenda kuwa na mahusiano na ya kimapenzi na wanaume waliomzidi sana umri.

Akizungumza kwenye The Sporah Show, Lulu amezitaja sababu za kupendelea kutoka na wanaume waliomzidi umri.

SPORAH: Watu wanahisi kwamba Lulu anapenda sana kutembea na watu waliomzidi umri sana,

LULU: That’s true, sio uongo, sio sana, Napenda kudate mtu ambaye anayeweza kusimama kama mpenzi, kama kaka, kama baba, kama kiongozi. Sitakuwa tayari kuwa na ile relation leo tumeamka na Maisha Club, kesho tumeamka na Billicanas, kesho tumeamka pale tunakula chips, I need to gain from you, nje ya upenzi unanifundisha nini kwa sababu haimaanishi kwamba mi ntaishi na wewe milele, itafikia siku labda we utaondoka au mi ntaondoka, we ukiondoka mi nikibaki nimejifunza nini kutoka kwako na ntaendelea kuishi vipi.”

“Haimaanishi kwamba napenda kutembea na watu walionizidi umri labda miaka hamsini, napenda kuwa na mtu ambaye angalau ananizidi umri, anauzoefu zaidi yangu, amepitia vitu vingi, anajua vitu vingi kwamba i’ll be there as a girlfriend lakini nakuwa naiba iba kidogo […] na vitu vingine vya kitoto kitoto vingi vinakuwa hamna.” alisema Lulu.

Bongo 5

Nimelamba Mchepuko wa Dingi, Kanipa Mambo Matamu Sijawahi Pewa toka Nianze Mapenzi..Hautaki Tuachane...


Nimekamatwa katikati ya penzi zito la mchepuko wa dingi yangu, Ipo hivi mimi nimeoa kwa miaka miwili sasa naishi Mwanza
wazazi wangu pia wanaishi hapa hapa Mwanza kwa takribani mwaka na kitu. Wamekua kwenye mgogoro mzito sana kuhusu huo mchepuko ambapo mzee kwa sasa anarudi home once in a week, siku zilizobaki zote analala kwa huo mchepuko ambao ameupangisha nyumba ya gharama kubwa na thamani za ndani pia.

Kwa kweli kachanganyikiwa vibaya juu ya huo mchepuko yaani ingekua bado tuna mhitaji kifedha labda bado tupo shule na kadhalika sieleewi ingekuaje. Cha kushukuru mungu wote tunafamilia zetu sasa hivi juzi kati kama miezi mitatu hivi dingi aliniuliza hivi ni lini utamfahamu mama yako mdogo maana wewe ndio mtoto wangu pekee wa kiume, nikamwambia mzee ni wewe tu, ukiwa tayari nipeleke dada zangu wote waligombana na mzee hivyo hawaongei kisa ni ugomvi wa wazazi kuhusu huo mchepuko hadi mama alipata ugonjwa wa hypertension juu ya huo mchepuko.

Nikapelekwa kuuona huo mchepuko, ila yy mwenyewe anatumia jina mama mdogo, kufika pale mtoto ni mkali sijaona, ni mweupeee utadhani Mwarabu, kiuno chembamba halafu wowowo hilo, kapiga kigauni hicho paja zote nje nikaambiwa mwamkie mamdogo huku umri anaonekana kulingana na mdogo wetu wa mwisho ambae pia ameolewa. Akamwambia binti hili ndo jembe langu peaneni namba za simu maana ikitokea nimeanguka huku huyu ndo unampigia simu kumtaarifu maana mzee ana medical condition flani hivi anaishi kwa masharti.

Mara kwa mara tumekua na mawasiliano na yule binti kwa mambo mbali mbali nimezoea kwenda pale hata kama Mzee hayupo kumsalimia, maana binti hulaumu mbona huji hata kunitembelea n.k. One day Mmee alikua nje ya Mwanza akanitumia list ya vitu nivinunue nimpelekee yule binti huwa hataki kabisa atoke. Nilipofika akatoa pombe kali akanipa yeye akawa anakunywa Dompo sikuwahi kunywa pombe kabla. Muda ulivyozidi kwenda tukaanza michezo ya kilevi, mara kuvutana na kadhalika kuja kustuka tupo dunia nyingine.

Nilishangaa ananivua nguo kama ugomvi vile mwisho tukawa tumeoana kwenye kochi pale.Nikiri tu wazi tangu kufahamu mapenzi mazito kama yale, kiuno kinazungushwa huwezi kama pana mfupa pale. Tuliendelea kufanya mchezo huo mara kwa mara, wakati mwingine natoroka kazini mchana naenda.Kwa kweli hata mke wangu anaachwa mbali sana na huyu binti kwa mambo hayo. Hata kabaang ambayo sikuwahi kufanya ndo nilipata for first time ni tamu mno nililia kama mtoto mdogo.

Hivi sasa nataka kujinasua nimeona naelekea kubaya, maana wife ameona mwenendo wangu umebadilika kwa hiii miezi mitatu ingawa mzee hana habari. Ila binti ndo amekua msumbufu hataki tufike mwisho. Mimi conscious ndo inanishtaki hasa kwa wife.Hata kwenda kwenye ibada nimeacha kwenda ikifika jumapili natafuta kisingizio chochote ili nisiende kwa sababu naona nafanya kazi bure kwa dhambi ya uzinzi na pombe ambavyo vyote nilikua sivifanyi kabla. Nimekuja kwenu mnisaidie nawezaje kuacha. Maana hata mzee akijua itakua balaa maana alishasema anataka kumuoa bomani

Help please

Bora Mwanaume wa Kibongo Kuliko Mwanaume Mkenya Kwenye Mapenzi


Mpenzi wangu huyu Mkenya na mie ni Mbondei wa muheza, dear wangu huyu tumepishana km mwenzi mmoja hiv umepita, na tatizo lenyewe anataka kupeleka posa nyumbani na mimi nimemkatalia kutokana na matatizo yafuatayo:-
1. TUkiwa chumbani yeye ni amri amri tu hadi kuna kucha
2. Kuanzia sebuleni kwake, chumbani hadi bafuni katundika bendera ya Kenya
3. Anapenda sana kuniona nimekasirika
4. Ukimwomba ushauri juu ya jambo fulani atakwambia fanya unaloona linafaa
5. Hana muda wa kukaa tushauriane mambo ya maisha na kupiga story za hapa na pale yy
mkikutana ni kucheza segere mwanzo mwisho
6. Ukiwa na matatizo c mtu wa kuonesha ushirikiano au kuguswa na tatizo ulilo nalo
8. Ni mbinafsi anapenda kufanyiwa yeye tu vitu vizuri

Bandugu ni kweli niolewe na mtu wa aina hii wakati kwenye uchumba tu kuna kero km hizo! Binafsi naonelea bora niolewe na mbongo kuliko huyu Mkenya nyie mwanishaurije

Shilole Asalimu Amri Kwa Mapenzi ya Nuhu Mziwanda..Mwenyewe Akiri Hakuna Mwanaume Katika Maisha yake Aliyewahi Kumjali Kama Nuhu


Staa wa Bongo Movies na Bongo Fleva, Shilole leo mtandaoni ameibuka na mtandaona na kuweka wazi kuwa mchumba wake Nuh Mziwanda ndio mwanaume wa maisha yake.

“Huyu nilienae pembeni yangu ndo baba yangu rafiki yangu faraja yangu ya moyo na anajua umuhimu wangu kuliko mtu yeyote yupo na mimi bega kwa bega ninapokuwa na furaha nahata ninapokuwa na majonzi mimi naweza sema ndo mwanaume wa maisha yangu naomba Mungu asije badilika nitaumia sana.Nampenda sana huyu mtu nyinyi mnamuta Nuh mimi namuita Jackson”-Shilole ameeleza.

Hili ni jambo jema,kila la kheri Shilole na Mziwanda kwenye maisha yanu ya mapenzi

Wolper: Anayetoka na Nay wa Mitego Ameshajulikana..Nay Akuwahi Kuwa Mpenzi Wangu


Staa wa Bongo Movies, Jacqueline Wolper, amewaweka njia panda mashabiki wake kwa kauli yake kwamba msichana aliyekwenye uhusiano wa kimapenzi na msanii wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ ameshafahamika, tofauti na alivyokuwa akihisiwa yeye.


“Watu hawana dogo, ukiwa karibu na mtu basi utaambiwa mpenzi wako, Nay hakuwahi kuwa mpenzi wangu kwa kuwa ni zaidi ya rafiki kwangu, ila watu wasio waelewa ndiyo walikuwa wakivumisha kwamba tuna uhusiano kwa maslahi yao, lakini sasa ukweli umejulikana kama mnavyoona na mnavyosikia Nay ni wa nani,” alieleza Jacqueline bia kumtaja anayetoka na mwana hip hop huyo.


Wolper aliongeza kwamba taarifa hizo ziliposambaa alipata tabu ambapo alikuwa akitumia muda mwingi kujieleza kwa watu wake wa karibu kutokana na tuhuma hizo.

Gazeti la Mtanzania

Kushiriki tendo la ndoa mara nyingi hakukufanyi uwe na furaha – Utafiti


Unaweza kudhani kuwa kufanya mapenzi mara nyingi kutakufanya uwe na furaha zaidi, lakini utafiti mpya umedai kuwa mambo yanaweza kuwa tofauti.

Watafiti wa Marekani wamebaini kuwa kufanya ngono mara nyingi kunaweza kupoteza uhalisia, mahaba na hamu. Wanadai kuwa mapenzi ni ‘ubora’ zaidi kuliko ‘wingi’ na kwamba kufanya zaidi kunaweza kuwafanya wapenzi kuyachoka.

Watafiti kwenye chuo kikuu cha Carnegie Mellon walibaini mwanzo kuwa ngono na furaha si vitu vya moja kwa moja kama inavyofikiriwa. Kuwa na furaha kwa mfano kunaweza kumfanya mtu kufanya mapenzi zaidi au kuwa na afya kunaweza kusababisha mtu kuwa na furaha na kutaka kufanya mapenzi zaidi.

Kama sehemu ya utafiti huo, wanasayansi waliwafanyia majaribio baadhi ya wapenzi kufanya mapenzi zaidi. Waliripoti kuwa kufanya mapenzi zaidi hakukuwafanya wawe na furaha zaidi kwasababu kuongezeka kwa kufanya kulipunguza hamu na raha ya mapenzi.

Watu 128 waliokuwa na umri wa kati 35-65 waliopo kwenye ndoa (wanawake na wanaume) walishriki utafiti huo.

These Are The 6 Best Ways To Beat Your Girlfriend/wife Without Touching Her!!


For some time now men have been seriously accused of beating their wife. Ask me and I will tell you it is irresponsible for any man to beat her wife or girlfriend (either of the two). But then there are some other ways we can do this without actually touching or hitting them physically.

Don’t ask whether it is by denying them of cash – absolutely No! In fact any man than cannot sustain his wife and children is lazy and not worthy to be called a man.

Meanwhile this is applicable for everybody. When you have problem with your wife or girlfriend:

1. If she refuses to cook for you show her that you too can do can do equally do the cooking ( this is note for everybody as not every guys know how to cook) or you can buy already cooked food outside, bring it home and eat in front of her. While doing this you can put on some love song which will irritate her and make her to feel jealous.

2. You can also visit the Mr. Big, Citi chef or any tantalizer with your children without your wife.

3. If you have sexy body with hairy chest or smooth body this can be of an advantage (Pls don’t ask me if guys are sexy – swagger). grin

4. Play with your children or you can go for site-seeing (with your children only).

5. When together pretend as if you are chatting with your female colleagues (I don’t mean concubine undecided) in a manner that reminds her of the good times. Pretend as if she is not their even when you know she their.

6. When you discover she is remorseful may be you can forgive her (with a smile kiss). Don’t forget its part of the game

Huu Ndiyo Mtazamo wa Shamsa Juu ya ‘Mapenzi ni Kupetipeti au Mapenzi ni Pesa’


Staa mrembo wa Bongo Movies, Shamsa Ford amabaye hivi sasa anatoka na Staa wa Bongo Fleva, Nay wa Mitego baada ya kuachana na mumeo, ameweka wazi kuwa kwenye mapenzi yeye anahitaji kupetipetiwa na pesa pia vinginevyo atakusaliti.

Akiwa anaipa promo nyimbo mpya ‘Mapenzi au Pesa’ ya Nay wa Mitego na Diamond Platinum itakayotoka hivi karibuni,  Shamsa amefunguka hayo na kuwataka mashabiki wake watoe mitazamo yao.

“Eti mapenzi ni kupetipeti au mapenzi ni pesa..?? Kwa upande wangu vyote navihitaji maana nikipata mapenzi tu bila pesa nitaishia kukusaliti wewe je unaonaje??”- Shamsa aliuliza

Lucy Komba: Tuna Zamu ya Kupika na Mume Wangu


Mkongwe wa sinema za Kibongo ambaye amekita makazi yake nchini Denmark , Lucy Komba ameweka bayana kuwa katika suala la mapishi anapokuwa nyumbani, huwa wanawekeana zamu ya kupika na mumewe.
Lucy Komba akiwa katika pozi na mumewe .
Lucy alivujisha taarifa hiyo baada ya mwanahabari wetu kumuuliza juu ya ratiba zake za mapishi anapokuwa nyumbani ndipo alifunguka :
“Huwa tunawekeana zamu ya kupika na mume wangu, mfano kama leo , mimi nipo nyumbani lakini sipiki namsubiri atoke kwenye mihangaiko yake aje apike , huku ndivyo mambo yanavyokwenda tofauti kidogo na huko nyumbani (Bongo ) kwamba mwanamke pekee ndiye mwenye jukumu la kupika.”

MKE Alininyanyasa Sana Nilipofukuzwa Kazi, MUNGU Ameniona, Sasa Yamegeuka


Siku moja nisiyopenda kuikumbuka nilitwa ofisini kwa bosi wangu na kukabidhiwa barua ya kufukuzwa kazi
Hiyo ilikua ni baada ya uchunguzi wa miezi kdhaa wa kosa nililokua nimelifanya bahati mbaya. Miezi mitatu nyuma nilimuingizia pesa mteja kimakosa kwenye akaunti yake kiasi cha million mia tatu na hamsini ambazo alitakiwa kuwekewa Mteja mwingine halali kupata pesa hizo.

Kama humu ndani Kuna banker ataelewa nachokisema, kwamba makosa kama haya benki ni kawaida sana. Ukigundua kosa kama hili unawahi una reverse hiyo entry una m-credit anaetakiwa shida ni kama uliemwekea kimakosa akawahi kuzichukua ndipo yanakukuta yaliyonikuta mimi.

Baada ya kufukuzwa kazi mke wangu alibadilika kabisa
Nilishuhudia yafuatayo:-

(1) Alitamka mimi ni mjinga ndio maana nimefukuzwa kazi.

(2) Chake kikawa chake tu.

(3) Akawa anawaambia wazi watoto kuwa kitu fulani kimenunuliwa na yeye na sio mimi.

(4) Muda wa kurudi home ukabadilika sasa anarudi usiku mwingi, nampa kipigo cha nguvu anazira na kukimbilia kwao, kwenye usuluhishi anawaambia wasuluhishi kwamba mimi namuonea wivu kwa kuwa ana kazi mimi sina.

(5) Niliuza Gari zangu mbili ili nipate mtaji wa kufanya biashara hivyo nikawa sina Gari nilijua maadam wife ana Gari tutatumia wote maana hata yeye wakati hana Gari alikua akitumia magari yangu.

Kinyume na matarajio hakutaka kabisa niguse Gari lake mimi nikawa mtu wa miguu.Majirani wakawa wanashangaa mfumo wetu wa maisha.

(6) Life yetu ya bedroom ikawa imekufa no intimacy no love making nothing. Alianza kidogo kidogo leo mara aseme anaumwa, kesho kachoka, hadi mwezi unaisha. Nikaamua isiwe tabu nikaacha kuulizia tena, nae akawa amepotezea moja kwa moja.

Hata wazazi wangu aliwa mistreat sana wakawa hawaji tena kwangu, mama yangu akawa ananitumia vitu kwa njia basi kutoka nyumbani kama mchele, maharage, unga na kadhalika ili na mm nionekane nachangia.Wakuu siku ya kufa nyani miti yote huteleza. Kila nilichojaribu kukifanya ili nijinasue kinakwama, nakuta mtaji wote unakata naanza moja.Ilikatika miaka minne nikiwa kwenye hali hii maana nilipata matatizo 2010. Mwaka Jana kuna Dada mmoja tulisoma wote primary school akaamua kunisaidia, huyu dada tulikutana Posta accidentally tukapeana contact
mimi nilishamsahau ila yeye alinikumbuka.

Baadae akaniunganisha na mumewe ambae ni HR manager kwenye shirika fulani, nikamwelezea ukweli wote na akaniingiza kaziniWife sikumwambia kuwa nimepata kazi akaanza kuona nakuja na mahitaji ndani, nikawa naondoka zangu alfajiri narudi usiku mwingi. Nikaita mafundi wakabomoa ukuta wote wa fensi uliokua umeoza waliiba sana cement wakati wa ujenzi ukajengwa upya, vitu vyote vilivyochoka ndani nikabadilisha. Wife alishangaa sana ila akashindwa kuniuliza maana hadi hapo tulikua hatuongeleshani zaidi ya salam za asubuhi na jioni tu basi.

Wana jf siwezi kuwaficha sehemu niliyopata naingiza hela Mara kumi ya ile kazi yangu ya benki, hii sikutokana na mshahara bali njia mbali mbali katikati ya mwezi kitengo chetu tupo wanne,hali ikiwa nzuri huwa tunagawana hadi laki mbili kila siku, kama hali ni mbaya tunagawana laki moja kwa siku hii ni mbali na ile tunayogawana mwisho wa mwezi kama million 3 each person mshahara ni mdogo tu ni laki saba tu kwa mwezi.Maana mshikaji alisema anaweza kuniingiza kazini ila kama mfanyakazi wa kawaida kwa kuwa benki nilifukuzwa hakukua na reference wala background check so nikaamua kufuta kwenye CV kuwa nilifanya bank.

Nimeanza mchakato wa talaka kupitia mwanasheria mmoja rafiki yangu, mwezi January mwaka huu amemwandikia barua ya kumtaarifu uamuzi huo na copy Ustawi wa jamii pia, baadae tutafungua shauri la talaka.Kinyume na matarajio yangu wife kwa kuwa alishaƱichoka na hakuna kinachoendelea kati yetu nilijua angekubali tu. Cha ajabu hivi sasa kupitia wazee wake wameniita kikao zaidi ya Mara 6 sasa ili tusuluhishe tofauti zetuKawa mpole sana, alidhan nitaendelea kuteseka milele

Wakuu sasa sipo nyumbani kwa hasira ya mambo aliyonitendea hivi sasa sipo nyumbani nimepanga upande wa nyumba nimeanza ujenzi ili nihamie. Kila siku lazima nipite kwa watoto niwaone ndo niondoke. Nimesimama njia panda, mm binafsi nilishaamua simtaki tena huyu mwanamke ila wazee na viongozi wa dini tunakoabudu wanasema turudiane juzi mke wangu alinipigia magoti tukiwa kikaoni kwamba nimsamehe, nifute kusudio la kuomba talaka mahakamani. Wazazi wangu hawataki kusikia kabisa neno msamahakwa matendo aliyotufanyia.


NB: Nimetaja kipato ili kuwapa mwanga na uelewa wa tatizo isichukuliwe vinginevyo

Nimesikia amepata matatizo kazini ila sina uhakika na taarifa hizo

Naomba ushauri wenu

By Christo devries/Jamii Forums

Nimempa Mimba House Girl Hataki Kuitoa Wala Kuondoka Hataki


Miezi kadhaa iliyopita wife alileta house girl mzuri ajabu na mwenye wowowo la kufa mtu. Binti huyu hushinda na kanga moja tu na nyonyo zimechongoka kama bolibo na akiinama kupiga deki shanga zote nje.

Kwa hali hiyo uvumilivu ukanishinda nikajikuta nimetembea nae mara kadhaa. Juzi ananiambia haoni siku zake, nimemwambia nimpe pesa akatoe amekataa anaogopa kufa.

Tumeongozana hospitali nikathibitisha ni kweli mjamzito. Nikamuomba kwa usalama wa ndoa yangu aondoke, hataki.
Nimemuahidi nitampa mtaji aondoke, hataki anataka nimpangishie sehemu awe mpango wa kando jambo ambalo silitaki.

Kuna mwenye jawabu hapa nifanye nini?

Dada wa Diamond Esma Platnumz, Mke wa Petit Man Ajifungua Salama Mtoto wa Kike


Ujumbe Alioandika Dada wa Mwanamuziki Diamond Baada ya Kujifungua mtoto wa Kike

Esmaplatnum
"ooh mungu wangu asante kwa kunipa zawadi hii tena maana hii ni zawadi nakukabizi malaika wakoumpe makuzi salama na yenye afya tele umuepushe na kila husda za walimwengu nasema asante mwenyezi mungu kwani hakuna wa kumuomba zaidi yako wee ndio mpanga na mpangua kwako hakishindikani kitu bac nakukabizi malaika wako ukamlinde baba nasema asante sikuchoka kukuomba nilalapo nisikiapo uchungu jina lako lilikuwa mdomoni kwangu umesikia maombi yangu nasema asante "

Meet Ommy Dimpoz Rumored Girlfriend


The above photo is a lady who is said to be singer Ommy Dimpoz girlfriend although Dimpoz himself hasn't put it clear but he has posted almost 3 pics with her on his instaram  with no caption.

Looking at them, do they match as an item....?

Diamond Platnumz And Zari The Boss Lady To Get Married Late This Year


Diamond Platnumz and his boss lady fiance Zari are going to get married this year, In an interview with Clouds Fm Diamond said he is already engaged to Zari and they plan to have a historic wedding late this year.

Billionaire Reginald Mengi Reveals Why He Married K-Lyn Jacqueline Ntuyabaliwe.


Few weeks ago Billionaire Reginald Mengi got married to former Miss Tanzania 2000 and Bongofleva singer K-Lyn Jacqueline Ntuyabaliwe despite their age gap. Their wedding which happened in Mauritius got media and social media attention, and  according to weekly paper, recently Mengi revealed he got married to K-Lyn because she is wife material.
Mengi said Jack loves him so much, she cooks for him, she washes his clothes with her own hands not using machine, she respects him and she knows his position as a man and a husband and she knows her own position as a woman and a wife.

Uadui Wageuka Kuwa Mapenzi, Nay wa Mitego si Ulidai Mala..ya Wenye Viwango Wapo Bongo Movies?


Ilianza kama utani lakini siku zilivyosonga ndivyo uhusiano wao ulivyowekwa wazi, hao ni watu wawili waliowahi kuwa maadui wakubwa miaka kadhaa nyuma.
Hapo nawazungumzia staa wa filamu Shamsa Ford na msanii wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ ambao kwa sasa wamezama kwenye mahaba niue.
Awali, wahusika wote walitumia nguvu kubwa kukanusha juu ya uhusiano wao lakini inatajwa kuwa mahaba yao ndiyo gumzo kuliko ya wengine wote katika Bongo Muvi na yanashika nafasi ya pili katika Bongo Fleva nyuma ya Diamond na Zari kwa sasa.
Awali, uadui wao ulitokana na Nay kuwaponda wasanii wa kike wa Bongo Muvi na kudai wengi wao hawana lolote na kazi yao ni kujiuza, Shamsa alikuwa mmoja wa waliopokea kwa hasira kali na kumbwatukia Nay lakini ule usemi kuwa ‘wagombano ndiyo wapatanao’, ulikuwa unawahusu.
Walipoulizwa juu ya mahabati yao baada ya picha kuvunja mitandaoni wakipeana ‘mabusu’ motomoto hivi karibuni, walisema wana ‘project’ maalum ya filamu.
Sasa inavyoonekana filamu yao imekuwa ya ukweli badala ya zile za kuigiz
Toa Maoni Yako

Wellu Sengo Adaiwa Kutoka na Mume wa Mtu Mwigizaji Mwenzake Steven Nyerere


Mrekebishatabia wa Insta ameibua Mazito Kama ifuatavyo

Saaaasa????? @stevenyerere2 ndo umeoa mke wa pili au?? Yaan mkeo anavyokupenda!!! Sehemu zote muhimu au outing badala ya kutoka na mkeo unatoka na huyo....jana mliman city pia mlikuwa wote...sasa kama vipi tutambulishane otherwise wanawake tutaandamana!! Ole wako useme ni movie..... #projects #BongoMovies!!!

@sengomatilda 1. Steve ni mume wa mtu! 2. Familia yake inamuhitaji! 3. Mkewe hayuko tayari kuvunja ndoa yake 4.Wewe ni mrembo unastahili upate wako 5. Steve ana maneno matamu ya kumvutia mtu, usimsikilize 6.Akikupigia simu usipokee...teh 7.Akikutext usimjibu.... Haya mpaka sasa hapa ni mtu na cousin wake au mchepuko? ??

Mke wa Steve

1. @suzycleo mumy! Wewe ni mwanamke mzuri sifa zote za mke mwema unazo mtu yeyote asikuambie lolote khs ndoa yako. Pigania ndoa yako mumeo maarufu you know..watu kibao sasahivi wanaona kuna neema inamtembelea wanaanza kumnyemelea. Hizi zote ni baraka na matunda kutokana na kuwa mwanamke shupavu umekuwa na mumeo bega kwa bega iweje leo ndo mtu ale raha na mumeo wakati wewe ndo mwenye shamba?

Nachokushauri, mpende mumeo tena zaidi ya mwanzo, kama umesikia au kuona kitu ni kawaida kwenye ndoa kupata majaribu simama kama mama najua wajua udhaifu wa mumeo. ...mkamatie hapo! wakati ukifanya hayo usisahau kuomba juu yenu, Mungu ndo kila kitu. NDOA NA IHESHIMIWE NA WATU WOTE!!!>>>> 2 na 3 zitafuata

Mke wa Steve Nyerere Ajibu:

Wolper Anaswa na Kigogo Mpya!



Achilia mbali akina pedeshee Mangi, Dallas na Gee Modal, kigogo mpya wa staa wa Bongo Movies, Jacqueline Wolper Massawe safari hii amenaswa laivu wakijiachia kwa raha zao, Risasi Jumamosi lina cha kushika mkononi.
Kwa mujibu wa chanzo cha gazeti la risasi la leo, kigogo huyo ni mtu mwenye fedha zake aitwaye Jimmy Mgaya ambaye ni Mbongo mfanyabiashara aishie nchini Afrika Kusini ‘Sauz’.


Chanzo hicho kilishusha data kuwa jamaa huyo ndiye aliyempangia Wolper nyumba ya kifahari iliyopo ushuani Mbezi-Beach jijini Dar.Huku akirusha picha za kimahaba za wawili hao, sosi wetu huyo alisema kuwa Jimmy ni ‘mtu f’lani hivi amazing’ kwa sababu anakata mkwanja kinoma.

Kama mtakumbuka kuna siku gazeti lenu mliandika kuwa Wema (Sepetu) na Wolper walilewa chakari kwenye pati ya ‘bethidei’ ya Petit Man, basi huyo kigogo ndiye aliyewafanyia kufuru na ile pati ilifanyika nyumbani kwake, Kinondoni-Manyanya (Dar),” kilimwaga ubuyu chanzo chetu.

Chanzo hicho kilidai kwamba picha za wawili hao wakijiachia ambazo gazeti hili linazishikilia zilipigwa maskani kwa jamaa huyo huko Durban kwenye Jimbo la KwaZulu-Natal nchini Afrika Kusini.

Baada ya jitihada za kumsaka mwanaume huyo kugonga mwamba, gazeti hilo lilimtwangia simu Wolper na kumsomea mashitaka yake juu ya mwanaume huyo ambapo mbali na kukiri kumfahamu Jimmy, alikuwa na haya ya kusema:

Ni kweli namfahamu Jimmy, nilikutana naye kwenye mizunguko yangu nje ya nchi. Si kweli kwamba ni bwana’ngu. Kuhusu picha, nilipiga naye kama rafiki tu na sioni kama ni picha mbaya.”

Hivi karibuni Wolper alikiri kuwa na mwanaume lakini akawa anaogopa kumwanika kwa kuogopa kuporwa na wasichana wa mjini hivyo inaaminika ndiye huyo Jimmy.

Linah Sanga Gets Intimate With a Guy While Showing Off Her Baby Bump


This is linah Sanga with a guy while rocking baby bump. Is she really pregnant or is it just a new video? stay tuned for more updates.......

Photos: Shamsa Ford And Boyfriend Nay Wa Mitego Get Intimate..


These are new photos of Shamsa Ford and Nay Wa Mitego, they are in love and they live together now according to reports ............