Kuhusu Zitto Kabwe: CCM wamecheza game of mind kuelekea uchaguzi mkuu

Zitto Kabwe
Maoni Huru kutoka kwa Mdau:
'Hatujui kweli kinachofurukuta mdani ya CHADEMA na hatujui kama kosa lilikuwa linavumilika ama haivumiliki.
Ila kitendo cha mahakama kufuta kesi ya Zitto haraka haraka inaweza ikawa ni game mind ya kisiasa ya CCM kwa sababu wanajua kuwa wazee wa kukurupuka watamfukuza haraka haraka na lazima kuna damage itatokea.
Au mnadhani kwa nini kesi imefutwa kuelekea uchaguzi? 
Mimi sio mamluki hata huyo ZZK, sijawahi kumuona zaidi ya kwenye magazeti, ila kilichopo kwa sasa ni kuwa CCM imechokwa na CHADEMA haijajiandaa'
By Saint Ivuga