Haya Ndio Mawe ya Barafu yaliyokuwa Yakishuka na Mvua Toka Angani Huko Shinyanga na Kusababisha Vifo

 Kama ulisikia Juzi mkoani Shinyanga palitokea Maafa makubwa na kuuwa na kujerui watu kadhaa kutokana na Mvua ya Mawe na Upepo mkali ..Basi hizi picha zinaonyesha Mawe yaliyokuwa yakishuka kutoka angani na Mvua hiyo na kusababisha maafa hayo....