Akizungumza na Soudy Brown kupitia Uheard alisema kuwa mwanamke kama yeye hawezi kufumaniwa na kwamba mpenzi wake wa sasa kinachomsumbua ni wivu wa kimapenzi bila kumtaja jina mpenzi wake huyo wa sasa.
Aidha ameongeza kuwa hayuko tayari kuzungumzia suala hilo kwa sasa ndiyo maana amekaa kimya tangu habari hizo zitoke kwenye magazeti.
‘’Nimeamua kunyamaza kimya lakini ipo siku ntazungumza kila kitu kuhusiana na habari hizi," alisema Stara.