Miaka hiii ya karibuni kuna watu maarufu hususani wasanii wanakufa wakiwa above 30 hawana mchumba ,mke,mtoto,hata nyumba hawana hao ni zaidi ya masikini tunatakiwa kuwaweka kundi la kapuku,usikubali kufa kapuku wanaume tuoe na wanawake muolewe acheni kuchaguachagua kama mnachagua nazi gengeni.