Kama uko above 30 huna mke/mume wala mtoto we ni masikini tu

Niliwahi kuwa na mwanazuoni mmoja wa dini fulani akasema kwenye dini yao utajiri hauishii kwenye mali bali familia kwa maana ya mke na mume na watoto. Mtu anapomisi kitu kimoja wapo hapo uhesabika kuwa ni masikini tu hata kama ameacha mali kiasi gani.

Miaka hiii ya karibuni kuna watu maarufu hususani wasanii wanakufa wakiwa above 30 hawana mchumba ,mke,mtoto,hata nyumba hawana hao ni zaidi ya masikini tunatakiwa kuwaweka kundi la kapuku,usikubali kufa kapuku wanaume tuoe na wanawake muolewe acheni kuchaguachagua kama mnachagua nazi gengeni.