Johari Akiri Kumpora Kimapenzi Mwigizaji Ray Kutoka kwa Mainda

STAA wa sinema za Bongo, Blandina Chagula ‘Johari’ amekiri kwamba wakati anaingia kwenye uhusiano wa kimapenzi na nyota wa fani hiyo, Vincent Kigosi ‘Ray’ alijua yupo na nguli wa filamu, Ruth Suka ‘Mainda’, Johari Amekiri Baada ya kuulizwa na Gazeti moja maarufu ....