Je hiki Kipigo cha Katiba ni Uthibitisho UKAWA Sii Lolote Sii Chochote, 2015 Ni CCM Tena?



Kufutia hiki kipigo cha Katiba Mpya kwa kundi la Wana UKAWA, Tume ya Warioba na Watanzania wote wapenda demokrasia ya kweli!, jee kinaweza kuwa ndio kiashiria cha awali kuwa hawa Wa UKAWA sii lolo, sii chochote, hata kama wataunganisha nguvu, na kumsimamisha mgombea mmoja!, na hata mgombea huyo akiwa ndie Joseph Sinde Warioba mwenyewe, bado watapigwa mwereka?!.

Huu unaweza kuwa pia ndio uthibitisho hata CUF, kule Zanzibar sii lolote sii chochote!, 2015 ni CCM Tena?!.

Ni swali tuu!.