Taarifa kuwa Rais Kikwete ameshasaini Sheria ya Makosa ya Mtandao ili ianze kutumika yazidi kuibua mjadala


Taarifa kuwa Rais Kikwete ameshasaini Sheria ya Makosa ya Mtandao ili ianze kutumika yazidi kuibua mjadala , Dr. Mengi asisitiza wadau hawakupewa fursa kushiriki kuandaa sheria hii ..Je Una Kubaliana na DR Mengi?