Mbowe kawaambia sentensi moja tu... "Serikali iliyopo haina uwezo wa kutatua matatizo sio ya nyie tu madereva, bali na makundi mengine ya kijamii ikiwemo wakulima, wafugaji, walimu, madaktari, wauguzi, askari nk... hivyo njia pekee ni nyie kuendelea na kazi na kuvumilia miezi michache iliyobaki kisha itaingia serikali makini itatue matatizo yenu".