Kama Rais Uhuru wa Kenya Leo Ameweza, Kwetu Rais Kikwete Tatizo Nini?


Leo hii raisi wa kenya amewasimamisha kazi wa kuu wa chombo kinacho simamia udhibiti wa ufisadi pale nchini kenya,yaani mwenyekiti na makamu wake.Sababu kuu ni moja tu,wameshindwa kuwajibika ipasavyo kupambana na ukosefu wa maadili na kukithiri kwa ufisadi kenya. swali? hapa Tanzania tatizo lipo wapi? Vyombo vya Kudhibiti  vimelala ufisadi sana zaidi ya sana ....