Kupitia kwenye kipindi cha XXL kinachorushwa clouds fm, msanii Diamond
platnums, amezungumzia uzinduzi wa Tv station yake binafsi
atakayoizindua mei 1 kwenye party ya zari inayofahamika kama zari all
white party itakayofanyika mlimani city.
All the best kama sio kick.