Hongera sana ndugu zitto zuberi kabwe kwa kujinyakulia nafasi ya
kiongozi mkuu, kazi iliyoko mbele yako ni kukitangaza chama kitaifa ili
uweze kuwa na wabunge na mdaiwani-octoba 2015,Hakuna kazi kubwa kama
kuwa kiongozi inahitaji busara na hekima ya hali juu