Zitto Kabwe Ameshinda Nafasi ya Kiongozi Mkuu wa- ACT Wazalendo

Hongera sana ndugu zitto zuberi kabwe kwa kujinyakulia nafasi ya kiongozi mkuu, kazi iliyoko mbele yako ni kukitangaza chama kitaifa ili uweze kuwa na wabunge na mdaiwani-octoba 2015,Hakuna kazi kubwa kama kuwa kiongozi inahitaji busara na hekima ya hali juu