Unalionaje Swala CHADEMA Kuwa na Jeshi Lake la Kujihami? Toa Maoni Yako

Hii Picha ni Jeshi la Chama cha Chadema Maarufu Kama RED BRIGADE huko Mwanza wakati wakila kiapo cha utii mbele ya Mwenyekiti wa Chama Hicho Freeman Mbowe Siku ya Jumamosi ....

Nini Maoni yako juu ya Majeshi haya ya Vyama?