Tundu Lissu VS Zitto Kabwe, nani zaidi katika siasa za kibunge?

Wote ni wazuri ktk kujenga na kutetea hoja. Lissu akiwa yuko fit and competent ktk sheria na katiba huku Zitto akiwa safi ktk masuala ya hesabu, na siasa za nje.

Je, wewe unamkubali yupi kati yao wakiwa nyuma ya mic za mama Makinda pale mjengoni?