Siku za Mwezi ni Arobaini..Mwanamke Akatwa Ziwa Baada ya Kukamatwa Akiiba


Mwanamke Mmoja Huku Nigeria Amekubwa na ule msemo usemao siku za mwizi ni Arobaiini ..Picha hiyo hapo chini inasemekana Mwanamke huyo alikatwa ziwa lake moja na wananchi wenye hasira kali baada ya kukamatwa akiiba.....Aibu Kubwa....