Mhubiri maarufu wa dini India ambaye ana wafuasi zaidi ya milioni
hamsini duniani Gurmeet Ram Rahim Singh anakabiliwa na mashtaka ya
kusababisha majeruhi kwa tuhuma za kuwashawishi wafuasi wake 400 kukata
sehemu zao za siri ili waweze kuwa karibu na Mungu. Singh aliwaambia
wafuasi wake kwamba wale ambao wanaotekeleza amri hiyo watakuwa na uwezo
wa kumuona Mungu. Wafuasi wa Singh walikata sehemu zao za siri kwenye
Hospitali ambayo yeye anaimiliki
Una lipi la kusema juu ya hilo?