Amber Rose |
If only this beach was actually Topless #Maui, ameandika kwenye picha hii aliyoiweka Instagram
Mrembo huyo ambaye ni mama wa mtoto mmoja aliyempata kwenye ndoa yake na Wiz ni kama ameunyofoa mshipa wake wa aibu na kumwaga radhi au tuseme kuwapa raha mashabiki wake wa kiume wanaomfollow Instagram kuwa kuwaonesha ni kitu fani Wiz anakikosa.