Kwa Picha Hizi Amber Rose Mshipa wa Aibu Umeshamkatika

Amber Rose
Tangu aachane na mume wake, Wiz Khalifa, Amber Rose amekuwa kama fisi aliyekabidhiwa bucha.

If only this beach was actually Topless #Maui, ameandika kwenye picha hii aliyoiweka Instagram

Mrembo huyo ambaye ni mama wa mtoto mmoja aliyempata kwenye ndoa yake na Wiz ni kama ameunyofoa mshipa wake wa aibu na kumwaga radhi au tuseme kuwapa raha mashabiki wake wa kiume wanaomfollow Instagram kuwa kuwaonesha ni kitu fani Wiz anakikosa.