Jux Ampoteza Diamond Platnumz Kwa Mjengo Wenye Hadhi ya Kistaa

Juma Jux
Kwa muda mrefu kumekuwa na Habari nyingi zisizo na uhakika kuhusu nyumba anayomiliki Mwanamuziki Diamond na huku wengine wakilaumu kwa yeye kuendelea kukaa nyumba ya kupanga kulinganisha na mafanikio yake kimuziki...

Mwanmuziki Jux ambae umaarufu wake si wa kiivyo katika muziki anaonekana kumpoteza kabisa Diamond kutokana na Hekalu analomalizia kujenga lenye ghorofa moja...

Jumba hilo lenye hadhi ya kistaa lina studio ya kurekodi, Gym kwa ajili ya mazoezi na Bwawa la Kuogelea ndani....