Baada ya Jana Askofu Gwajima kuzimia wakati akijojiwa na Polisi kuhusu
kumtukana Hadharani Askofu Pengo , Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul
Makonda naye amemtaka Askofu Gwajima kufika ofisini kwake Jumatatu
Kujieleza kwanini alitoa Maneno hayo machafu kwa Askofu mwenzake ....
"Hatuamini kama kweli imefikia wakati sasa nyumba za ibada zinatumika
kama sehemu za kupashana badala ya kuhuburi injili ili watu waokoke"..alisema Paul Makonda