Baada ya Kuzimia na Kuzinduka Gwajima sasa Atakiwa Kwenda Kujieleza Kwa Mkuu wa Wiliya ya Kinondoni Paul Makonda

Baada ya Jana Askofu Gwajima kuzimia wakati akijojiwa na Polisi kuhusu kumtukana Hadharani Askofu Pengo , Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda naye amemtaka Askofu Gwajima kufika ofisini kwake Jumatatu Kujieleza kwanini alitoa Maneno hayo machafu kwa Askofu mwenzake ....

"Hatuamini kama kweli imefikia wakati sasa nyumba za ibada zinatumika kama sehemu za kupashana badala ya kuhuburi injili ili watu waokoke"..alisema Paul Makonda