Wema Sepetu na Ivan it's ON, Wana-date, Ommy Dimpoz na Wema Sepetu ni Zuga Tu

In other news, Tanzania’s sweetheart ,Wema Sepetu is officially dating mheshimiwa Ivan kutoka Uganda ambae kwa sasa anaishi South Africa. Kwa msiomfahamu IVAN ni ex-husband wa GF wa Tanzania’s superstar Diamond PLATNUMZ anaejulikana kama Zari the boss lady.



Yes, this is 120% confirmed,no, its 200% CONFIRMED. Kwasasa hawataki kuweka relationship yao out there kama kina fulani sababu wao wako pamoja sababu wanapendana na sio sababu wanataka kushindana na their exes au sababu they are looking for attention.

I think Wema kajifunza kuwa hizi relationship za mapicha kila baada ya dakika 5 huwa hazi last so kaamua yeye na Ivan mapenzi yao yawe ya kwao wao mpaka hapo watakapo ona wamejuana vizuri ndo watayaweka wazi. Yes, wengi wataona kuwa sio sawa hawa kuwa pamoja kwa sababu zilizo wazi ila pia mkumbuke kuwa sometimes watu hukutana kwenye circumstances za ajabu ajabu.

Yes, labda wasingejuana kama sio exes wao kutoka pamoja ila again labda ndo ilikuwa njia ya Mungu kuwakutanisha wawili hawa.

Hata Rihanna aliimba ” We found love in a hopeless place” naongea hivi sababu, it is real between these 2 na wanapendana haswaaaa. Na nimeamua kuwa support mapenzi yao sababu wanayaficha which means ni mapenzi ya kweli, sio mapenzi ya magazeti au kuonyesha watu au kutafuta attention like kina fundenge

Yaani ni mapenzi ya kiutu uzima sio ya nursery school. Nimeyapenda mnoooo… Na mdogo wangu mnamjua kwa kufall in love! Hahahaha!


Also Im sure utakuwa umenotice hiyo DP kwenye insta ya wema hiyo ya Lipstick ni kwamba Wema analeta lipstic za maana zenye jina lake, in each and every color. Na project nzima iko funded na mzee mzima Ivan….

STAY TUNED!

Haya ndo mapenzi mazuri sasa…..Ukimpenda mwanamke unamnyanyua ili na yeye aweze kujitegemea na awe your equal.. Na mwanamke pia akiwa na mwanaume anaemnyanyua hivi atampendaje sasa? Yani mwanaume utafurahi maisha mbona….

Anyways, siku hii news ya Wema and IVAN iki break out officially, just remember where you heard it first… hahahahhahaa! So, Yes, Wema na Dimpoz hakuna kitu chochote kinachoendelea, Walikuwa wanafanya music video, basi!

Ila wana enjoy jinsi wanavyowazingua na mapicha na ku divert attention from the real couple….hahahaha…Alafu naskia King Lawrence kapigwa mkwala wa hatari na Ivan, not to say or publish any pics ya relationship yake na Wema..

Jamani ndo maana siku zile wakati King anamdhalilisha Zari nilikuwa nawaambia kuwa dont blame King, King anafanya vile anavyotumwa na IVan, nothing more, nothing less. Mbona issue ya Wema kaambiwa aache na kaacha? hahahahahha!

Mmmh, ona Ivan na Wema wanavyozuga watu huko instagram. Wema anacomment kwenye picha za Ivan na Ivan ane anamjibu kama vile hawajuani…hahaha!