Msanii wa Vichekesho Atia Aibu Dodoma, Nyeti zake Zaonekana Wazi Akiwa Jukwaani

Mchekeshaji maarufu hapa Tanzani Masai nyotambafu ambaye kwa sasa na Presenter wa Star Tv kwenye kipindi cha MINI BUZZ Ambapo kwa sasa wapo Dodoma kw ajili ya maandalizi ya vipindi vyao ambavyo vinaruka kila siu kupitia luninga hiyo... Siku ya jana Masai aliibuka ndani ya kiwanja cha matei lounge na kufanya bonge la show ambapo hakifanikiwa kumaliza show kutoka na mbwembwe zake kumpoza..

Kwenye picha hapo tazama suruali aliyovaa hapo ni Model halafu anaenda kupiga msamba wewe unadhani kitatokea nini hapo?? Hapo ndipo alipobugi step Gafla tulisika Chaaaaaa........ Masamba alioupiga ulifanya aishiwe pozi na kutulia kama dadkika kadhaa akiwa hajui cha kufanya lakini alifanikiwa kujiogeza na kuvuta miguu yake na kujizogeza mpaka nyuma ya kibanda na kusimama huku akiwa amebana miguu na kuanza kutembea robo hatua... Ila tuligundua kwamba Msanii huyo alikuwa hajavaa nguo ya ndani na kuhofia nyeti zake kuonekana... Kiukweli masai alikuwa kwenye wakati mgumu sana mpaka mijasho kumtoka mwili mzima na badae alifanikiwa kutoka eneo hilo na kwenda kuvaa nguo ya ndani pamoja na suruali..tukio hilo lilitokea Matei Lounge Dodoma