Lemutuz Atoa Somo 'Mwanamke wa Maana Tunamjua kwa Kuwangalia Marafiki Zake wa karibu Kwanza'

Lemutuz Ametiririka Haya Maneno Kwenye ukurasa wake wa Instagram , nimeona sio vibaya kushare na ninyi hapa.....Kwa sababu kuna ujumbe hapa...hasa kwa watu fulani hapa mjini:

'Mfano wa kuigwa kuwa mapenzi hayana macho! Mapenzi hayana Umri na Mapenzi ni Mapenzi tu hayalazimishwi na wala hayana vita wala ugomvi.....Mapenzi ni Natural thing ukilazimisha tu ukaingiza Unnatural basi unaharibu....Mapenzi yanatakiwa kuwa Mapenzi tu sio mara washabiki mara wapambe mara team pwanya road hayo sio mapenzi...na kukosea sio kosa ila kurudia kosa.....people kuna somo hapa la kujifunza kuhusu LOVE ukiwa kwenye mapenzi lazima uwe mtulivu uwe na subra na uwe mstaarabu na utulie....badala ya kupanda Mahindi na kutegemea kuvuna gademu Mihogo sheria ya maisha ni moja tu TUNAVUNA TULICHOPANDA.......I mean mwanamke wa maana tunamjua kwa kuwangalia marafiki zake wa karibu kwanza....I mean marafiki zako wote malaya hapa mjini na wengine malaya wanajiuza India hakuna hata mmoja mwenye serious relationship au ndoa si tunaruka ndege wa rangi moja! UKIPATA AJALI MAANA YAKE ULIKUWA UNAENDESHA KWA KASI SANA NA ULIKUWA HUJAWAHI KUPATA AJALI SASA UMEPATA AJALI JIFUNZE UBADILIKE WACHANA NA WAPAMBE MBURULAZZZZ'
 hahahaha U know This is Le Mutuz The King of All Bongo Social Media Network kuna mwenye gademu tatizo huko? HAHAHAHAHA U KNOW! - le Mutuz

Haya Je Hapo Jiwe la Gizani Limemlenga Nani?