LE MUTUZ NATION LIVE STRAIGHT TALK!!;- Morning people U know binadam
mwenye akili siku zote hujifunza kwa kuona bila kusubiri
kuambiwa.....sihitaji kuambiwa kulichomuua Captain Komba for sure after
all is said and done kilichomuua ni UNENE tu hamna lolote lingine I mean
kama ni ugonjwa ulianzia kwenye UNENE....now I took a note na tayari
nimeshaanza mazoezi tena leo asubuhi I realiza that nilikuwa
nimejizembea sana toka nirudi bongo lakini now I got a wake up call na
msiba wa Komba.....na it is my hope kila mtu mwenye akili timamu
amejifunza wala huhitaji kuambiwa na mtu kwamba Moyo wa Marehemu lazima
ulikuwa umezidiwa na mafuta....I mean wote tutakufa anyways ila ni
muhimu kuchukua tahadhari badala ya KUJIUA mwenyewe!, PEOPLE KAMA NI
MNENE KULIKO INAVYOTAKIWA CHUKUA TAHADHARI ANZA MAZOEZI! CHANGE YOUR
LIFESTYLE NOW! JAMANI ASUBUHI NJEMA SANA! - le Mutuz