Edzen Jumanne |
Barua ya Wazi Toka kwa Mdau Kwenda kwa Edzen
Mimi ni shabiki wako mzuri sana Kutoka Mwanza ila nimesikitishwa na
Video yako ukiwa uchi na unachukuliwa Video na Mdada..Tumezoea kuona
wadada ndo wanachukuliwa Video ..naomba Nikuabie haya Machache labda
yatasaidia ...
Juzi Juzi tulikisia Umeachwa na Aliyekuwa Mke wako Dida wa Times FM na
Kufungasha virago kutoka Kwake ulipokuwa ukiishi..Mara Tukasikia Unatoka
na huyu Moza ila wewe ulikataa kabisa , sasa Video ya jana imekuumbua
tena kibaya zaidi imechukuliwa upo kwake kitu ambacho kinapigilia tetesi
kwamba wewe ni Marioo unaependa kulelewa na wadada wa mjini ..Kwanini
usiwe na Kwako ukajilia vitu vitamu kwako ..hawa viumbe wanaakili sana
ukiwaendelekeza watakupiga Danadana mpaka utalijua jiji vizuri ...Embu Badilika Mwanaume Mzima...
By Crispa, Mwanaza