Edzen Jumanne Tukio la Pili Sasa Unazalilika Mwanaume Mzima, Badilika Sasa

Edzen Jumanne
Barua ya Wazi Toka kwa Mdau Kwenda kwa Edzen
Mimi ni shabiki wako mzuri sana Kutoka Mwanza ila nimesikitishwa na Video yako ukiwa uchi na unachukuliwa Video na Mdada..Tumezoea kuona wadada ndo wanachukuliwa Video ..naomba Nikuabie haya Machache labda yatasaidia ...
Juzi Juzi tulikisia Umeachwa na Aliyekuwa Mke wako Dida wa Times FM na Kufungasha virago kutoka Kwake ulipokuwa ukiishi..Mara Tukasikia Unatoka na huyu Moza ila wewe ulikataa kabisa , sasa  Video ya jana imekuumbua tena kibaya zaidi imechukuliwa upo kwake kitu ambacho kinapigilia tetesi kwamba wewe ni Marioo unaependa kulelewa na wadada wa mjini ..Kwanini usiwe na Kwako ukajilia vitu vitamu  kwako ..hawa viumbe wanaakili sana ukiwaendelekeza watakupiga Danadana mpaka utalijua jiji vizuri ...Embu Badilika Mwanaume Mzima...

By Crispa, Mwanaza