Zari: Sijawatelekeza watoto wangu, ninakaa nao siku 300, baba yao siku 65

Mrs Diamond Platnumz, Zari Ttale aka The Bosslady amesema hajawatelekeza watoto wake tofauti na watu wengi wanavyomshutumu kwakuwa siku za hivi karibuni amekuwa akiongozana na mpenzi wake huyo mpya.



Zari amesema katika mwaka hukaa na wanae kwa siku 300 na zingine zilizosalia hukaa kwa baba yao ambaye walishaachana.

“That awkward moment when everyone thinks you abandoned your kids, so y’all kinda know when it’s my turn or his to have them. Smh,” alitweet.

“I like my soldiers. Out of the 356 days in year am responsible for 300 days and the 65 are his….. take some chill pills. When you see me out and about its my days off…… he takes over as their dad too. How come nobody complains if not seen with the kids?,” amehoji mrembo huyo.

“Isn’t a name supposed to question, how cme we never see him with the kids? But when it’s mummy. Hell breaks loose. Yep 300 days ain’t terrible for me. We both have protection of our soldiers, we both play our roles, We have our arrangements as parents. We are ok so are our soldiers.”

“So next time you see mummy out and about, Just know she has it below control her soldiers are safe and not ABANDONED. AITE?”