Lipumba alikamatwa jana na jeshi la polisi kanda maalumu ya Dar es salaam wakati alipokuwa akielekea eneo la Zakhem, Mbagala, kulikokuwa kumeandaliwa mkutano wa hadhara, kutoa taarifa kwa wafuasi waliokuwa wamekusanyika, kuwa mkutano na maandamano yamezuiliwa na Polisi