Kwa namna anavyoaandika maneno ya kejeli hakuna shaka kwamba huyu jamaa penzi la Chibu na Madam Zari limempiga za chemba vibaya mno. Jamaa kama kapanic hivi hadi kakosa direction. Anataka kutengeneza kaushindani ka kijinga na Chibu halafu Chibu mwenyewe kampotezea. Pamoja na kuwa jamaa anaonekana change zipo ila hili la Chibu na Dangote pesa imeshindwa kufanya kazi.