Chuchu Hans achafua hali ya hewa instagram kwa kuonyesha hii tattoo kiunoni!!




jamani jamani sasa hawa wasanii ni laana au
kutafuta kiki au umaarufu unawasumbua, swala la
msanii kama chuchu kupiga picha kama hizi na
kuruhusu zisambae si kukosa maadili huku jamani ,
hata kama ndo umechora tatooo sio poa sana
kuwaonyesha watu amba hawahusiki kabisa,
wasanii wa bongo badilikeni