Jeshi la Polisi mkoani Mwanza limewakamata waganga wa kienyeji 55 wakiwa
na viungo vya binadamu vikiwemo meno na nywele vinavyodaiwa kuwa ni vya
watu wenye albino. Inasemekana waganga ngio huagiza watu viungo vya
albino ili wawafanyie dawa.
Kwa maoni yako, watu hawa wanaosababisha ndugu zetu albino wanauwawa, unahisi adhabu gani inawafaa?