Nimefikiri kwa umakini juu ya kuzuiwa kwa wanaharakati watatu tokea Geita kumuona raisi kwa kutokuwa na kibali cha kufanya hivyo.Lakini tumeona ni kawaida kwa watu kama Diamond,Ray C,Idris,Juma Nature,Said Fela pale ni kama nyumbani...sasa napata jibu kuwa ikulu ni kwa kina Diamond tuu na si mapacha watatu toka Geita.kwan hata yule
Kijana aliyeruhusiwa kuingia ikulu baada ya kuendesha baiskel toka kijijini kwao nia yake ilikuwa kumpongeza Raisi ndomana hakupata kikwazo.